Back to home
Zaidi ya wakazi 500 wa Osodo wanahangaika na athari ya mafuriko Homa Bay
video
C
Citizen TV (Youtube)March 10, 2026
2h ago
Zaidi ya wakaazi 500 wa eneo la Osodo kaunti ya Homabay wamemiminika katika makanisa matano katika eneo hilo baada ya makazi yao kusombwa na maji, mto Miriu ukivunja kingo zake. Wakaazi hawa sasa wanaomba suluhu ya kudumu kwa janga hili ambalo limewahangaisha kwa muda mrefu.
Advertisement
Advertisement





