Back to home

Zaidi ya wakazi 500 wa Osodo wanahangaika na athari ya mafuriko Homa Bay

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 10, 2026
1mo ago
Zaidi ya wakaazi 500 wa eneo la Osodo kaunti ya Homabay wamemiminika katika makanisa matano katika eneo hilo baada ya makazi yao kusombwa na maji, mto Miriu ukivunja kingo zake. Wakaazi hawa sasa wanaomba suluhu ya kudumu  kwa janga hili ambalo limewahangaisha kwa muda mrefu.

More on this topic

Floods Death Toll Hits 49, Damages 16 Police Stations - March 2026

Heavy rainfall across Kenya has resulted in a tragic rise in the death toll to 49 people, with widespread displacement and significant property damage reported. The devastating downpours have led to 16 police stations being damaged. Families have been arriving at the Nairobi City Mortuary for four days to identify the bodies of loved ones lost in devastating floods that swept through Nairobi on Friday. Over 500 residents in Osodo, Homa Bay County, have been displaced and are seeking refuge in local churches after the Miriu River burst its banks. The Kenya Meteorological Department has forecast continued rains, with some areas expected to experience above-average downpours over the next seven days.

5 stories in this topic
View Full Coverage
Advertisement