Back to home
Mbunge wa Laikipia Mashariki Mwangi Kiunjuri ausuta upinzani na kumtetea Rais Ruto
video
C
Citizen TV (Youtube)March 20, 2026
2h ago
Mbunge wa Laikipia Mashariki Mwangi Kiunjuri ametetea kauli za Rais William Ruto akisema kuwa viongozi wa upinzani walivuka mipaka na hivyo hawapaswi kutarajia kunyamaziwa huku akisisitiza kuwa Rais ana haki ya kujibu anapochokozwa moja kwa moja
Advertisement
Advertisement




