Back to home
Polisi wazuia watu sita baada ya mauaji tata ya mwanamke Migori
video
C
Citizen TV (Youtube)March 20, 2026
2h ago
Polisi katika kituo cha Isebania kaunti ya Migori wanawazuia watu sita wanaoshukiwa kumuua mwanamke mmoja. Picha za CCTV zilinasa washukiwa wakiubeba mwili wa mama huyo kutoka nyumbani kwake alikouawa. Mumewe marehemu na dereva wa teksi ni miongoni mwa waliokamatwa wakisafirisha
Advertisement
Advertisement




