Back to home

Kubomolewa kwa vyoo vya umma kuibua hasira Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 21, 2026
1h ago
Kubomolewa ghafla kwa vyoo vya umma vilivyokuwa mkabala na hifadhi ya nyaraza za kitaifa katikati mwa jiji la Nairobi kumeibua mvutano huku wafanyibiashara waliokuwa wakichumia nje ya majengo hayo wakikadiria hasara
Advertisement