Back to home
Ahadi ya intaneti ya bure kwa umma imechelewa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 21, 2026
1h ago
Pindi tu walipotwika majukumu ya uongozi mwaka wa 2022, serikali ya Kenya kwanza ilianza upesi kutekeleza ahadi yake ya kuimarisha teknolojia nchini na kuimarisha ajira kwa vijana kupitia mitandao. Mojawapo ya miradi ilikuwa kutoa intaneti ya bure kwenye maeneo 25,000 ya umma iki
Advertisement
Advertisement





