Back to home

Viongozi wa ODM Mombasa wataka Joho kupewa unaibu rais 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 23, 2026
3h ago
Viongozi wa ODM kaunti ya Mombasa sasa wanasema kuwa watashinikiza mazungumzo kati yao na UDA yajumuishe chama hicho kupewa nafasi ya unaibu rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Wakizungumza Mombasa wakati wa Eid baraza, viongozi hao wamempigia debe waziri wa madini joho kupewa nafasi
Advertisement