Back to home

Hazina ya NG-CDF yatumiwa kujenga madarasa Samburu Mashariki

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 23, 2026
1h ago
Hazina ya NG-CDF inaendelea kubadili maeneo yaliyotengwa na kusalia nyuma kimaendeleo hususan maeneo ya wafugaji hasa katika ujenzi wa madarasa. Shule ya wasichana ya UASO samburu mashariki, ikiwa shule moja wapo iliyofadhiliwa na NGCDF na sasa inatoa nafasi kwa wasichana wafugaj
Advertisement