Back to home
Vijana wahamasisha wananchi na kuongoza kampeni ya kuchukua kura ya 'tuko kadi' Kajiado Kaskazini
video
C
Citizen TV (Youtube)March 23, 2026
2h ago
Vijana na viongozi wa jamii wanahamasisha wananchi kujitokeza kujiandikisha kuwa wapiga kura, huku makanisa yakijiunga na kampeni hiyo. Katika Parokia ya PCEA Baraka huko Kajiado kaskazini, shughuli ya uhamasishaji imeandaliwa, kwa kufuata kauli mbiu ya “Niko Kadi” inayolen
Advertisement
Advertisement



