Back to home
Jamii ya Ameru yalaani mauaji na ongezeko la visa vya wizi wa mifugo katika mpaka wa Isiolo na Meru
video
N
NTV Kenya (Youtube)March 24, 2026
2h ago
Jamii ya Ameru inayoishi katika kaunti ya Isiolo imelaani mauaji na ongezeko la visa vya wizi wa mifugo vinavyoendelea kushuhudiwa katika mpaka wa Isiolo na Meru, licha ya eneo hilo kuwa chini ya operesheni ya usalama.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news t
Advertisement
Advertisement





