Back to home

Wafugaji Kajiado walalamikia kuathirika kwa soko ya mifugo kutoka na vita ya Iran

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 17, 2026
2h ago
Wafugaji katika Kaunti ya Kajiado wameathirika baada ya soko la nyama kupungua Mashariki ya Kati. Mzozo unaoendelea kati ya Marekani na Iran umetajwa kuchangia kusitishwa kwa oda za usafirishaji wa nyama. Mwandishi wetu Nancy Kering anaangazia zaidi athari za hali hii kwa
Advertisement