Back to home
Wakaazi wa Mumias wahofia Uchumi kudhoofika
video
C
Citizen TV (Youtube)March 17, 2026
2h ago
Huku rais Ruto akizuru mkoa wa magharibi kwa ziara ya maendeleo, wakazi pamoja na wafanyabiashara mjini mumias kaunti ya kakamega wamejitokeza na kumuomba rais Ruto kuzindua chuo kikuu katika mji huo ili kuinua uchumi ambao wanasema kuwa umezorota sana.
Advertisement
Advertisement




