Back to home

Wapiga mbizi wakongwe wamerejea nyumbani baada ya kuandikisha matokeo bora jijini George

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 17, 2026
2h ago
Wapiga mbizi wakongwe wamerejea nyumbani baada ya kuandikisha matokeo bora jijini George, afrika kusini, katika mashindano ya 41 ya masters duniani. Kikosi hicho cha waogeleaji 17 kilimaliza katika nafasi ya 8 kati ya timu 23 zilizoshiriki kote duniani.Consolata Kirubi aliongoza
Advertisement