Back to home
Familia ya Andrew Limo yataka serikali imrudishe nyumbani kutoka vitani Urusi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 25, 2026
1h ago
Familia moja katika kijiji cha Kipkenyo kaunti ya Uasin Gishu inaiomba serikali kumleta nyumbani mtoto wao aliyeenda nchini Urusi kujiunga na jeshi katika mapigano kati ya Urusi na Ukraine. Mara ya mwisho familia yake iliwasiliana na kijana huyo ilikuwa mwezi wa kumi mwaka uliopi
Advertisement
Advertisement





