Back to home

Wahisani wasambaza sodo za kutumika zaidi ya mara moja kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Ruiru

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 25, 2026
2h ago
Wanafunzi katika shule ya msingi ya Ruiru, kaunti ya Kiambu, wanayo sababu ya kutabasamu baada ya kupokea sodo takriban 3,000 kutoka kwa wasamaria wema, hatua inayolenga kuboresha usafi na kuhakikisha wasichana wanasalia shuleni bila vikwazo. Kwa mujibu wa wadhamini, sodo hizo zi
Advertisement