Back to home
Mvua Mombasa yapelekea kero kwa wakazi na biashara
video
C
Citizen TV (Youtube)March 25, 2026
1d ago
Mvua inayoendelea kunyesha imekuwa kero kwa wakazi wa mitaa ya Bamburi na Kadzandani huko Mombasa. Usafiri katika barabara ya Mwembeni umekuwa kero huku biashara zikiathirika pakubwa, wakazi wakipata ugumu wa kufika katika kituo cha polisi na makazi yao. Na kama anavyoarifu Franc
Advertisement
Advertisement




