Back to home

Wagonjwa wateseka Elgeyo Marakwet huku mgomo wa madaktari ukiingia siku ya 21

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 26, 2026
1h ago
Kwa siku 21, huduma za afya katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet zimelemazwa kutokana na mgomo unaoendelea wa madaktari. Miongoni mwa masuala muhimu yaliyoibuliwa na madaktari hao, kama yalivyoainishwa katika mkataba wa kurejea kazini uliotiwa saini miaka miwili iliyopita, ni kupandi
Advertisement