Back to home

Obiero na Oduor wajiunga na Harambee Stars nchini Rwanda

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 27, 2026
4h ago
Kocha wa timu ya taifa Harambee Stars Benni McCarthy amepata wachezaji wa ziada katika safu ya ushambulizi baada ya kujumuishwa kwa Zechariah Nahum Obiero na Clarke Oduor katika timu hiyo nchini Rwanda. Wawili hao waliachwa nyuma Nairobi walipokuwa wakisubiri pasipoti zao mpya za
Advertisement