Back to home
Utata wa kifo cha mtoto Gilgil wazua kizaazaa hospitalini
video
C
Citizen TV (Youtube)March 28, 2026
4h ago
Kizaazaa kilishuhudiwa katika makafani ya hospitali ya Gilgil baada ya familia moja kukabiliana na walimu kuhusiana na kifo cha mwana wao wa miaka mitatu. Mwanafunzi huyo wa chekechea alifariki katika hali tatanishi akiwa shuleni siku ya Ijumaa. Kwa mujibu wa ripoti ya uchunguzi
Advertisement
Advertisement




