Back to home

Viongozi wa Mrengo wa ODM Pwani wakiikosoa serikali; Sifuna ashutumu Oburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 29, 2026
3h ago
Mrengo wa linda mwananchi umepeleka siasa zake kaunti ya Mombasa ambako katibu mkuu wa ODM Edwin Sifuna amesema kamwe hawezi kuhuduu chini ya kinara wa ODM Oburu Oginga. Wanasiasa hawa pia wamewakosoa wenzao walio serikali wakisema wameshinda na msimamo wa kuwaokoa wakenya. Wamee
Advertisement