Back to home

Mtoto wa miaka mitatu apotea Likoni, mshukiwa atoweka

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 28, 2026
2h ago
Familia moja huko Likoni, Mombasa, inamsaka mtoto wa miaka mitatu aliyetoweka nyumbani tarehe 20 Machi mwaka huu. Kulingana na ripoti ya polisi, jirani ambaye anadaiwa na familia kumuiba mtoto huyo, alionekana kuwa mjini Voi mara ya mwisho. Juhudi za kumtapa mshukiwa zimegonga mw
Advertisement