Back to home
Kaunti ya Kwale yasambaza tani 4 za mbegu za mchele kwa wakulima 400
video
C
Citizen TV (Youtube)March 30, 2026
3h ago
Gavana wa Kwale Fatuma Achani aligawa tani nne za mbegu za mchele kwa wakulima 400 katika wadi za Pongwe-Kikoneni, Ramisi na Vanga.
Vanga ilipokea tani mbili, huku Ramisi na Pongwe-Kikoneni zikipewa tani moja kila moja. Kwa jumla, Kaunti ya Kwale imesambaza zaidi ya tani 400 za m
Advertisement
Advertisement





