Back to home
Wazee wa jamii ya waluhya wahimiza amani kwenye kampeni
video
C
Citizen TV (Youtube)March 30, 2026
3h ago
Baraza la wazee kutoka jamii ya Luhya wamekutana kuweka mikakati ya kukabiliana na kauli kali kutoka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa, ambazo wanasema zinaweza kuhatarisha mshikamano na amani katika jamii.
Wakizungumza mjini Kitale, wazee hao wamesema wameanzisha mipango ya kuwa
Advertisement
Advertisement




