Back to home

Askofu wa kanisa Katoliki Embu awapongeza vijana kwa kuanzisha kampeni ya 'niko kadi'

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 30, 2026
3h ago
Askofu wa Kanisa Katoliki dayosisi ya Embu Peter Kimani amewaomba vijana washiriki kikamilifu katika zoefu la usajili wa wapiga kura linaloendelea na kuhamasisha wengine kujiunga kupitia mpango wa ‘Niko Kadi’. Akizungumza katika misa ya vijana katika Kanisa la St Peter and P
Advertisement