Back to home
Abdihamid Hassan ashinda shindano la uvumbuzi kwa kuvumbua mfumo wa akiliunde wa kudhibiti ukame
video
C
Citizen TV (Youtube)March 30, 2026
3h ago
Abdihamid Hassan kutoka kaunti ya Isiolo ndiye mshindi wa mashindano ya kitaifa ya ubunifu wa teknolojia. Mfumo wake aliobuni unatumia akiliunde kukusanya data za setilaiti kuhusu ukame na lishe kwa mifugo na kisha kuwaarifu wafugaji moja kwa moja kwa kuwapigia simu. Mfumo huo ul
Advertisement
Advertisement




