Back to home
Familia za waathiriwa wa maandamano zasema siku 60 hazitoshi kuwasilisha stakabadhi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 30, 2026
2h ago
Familia za waathiriwa wa maandamano sasa zinataka muda kuongezwa kuwapa nafasi zaidi ya kuwasilisha stakabadhi kwa tume ya kitaifa ya haki za binadamu kuwasaidia kupata fidia. Familia hizo zinasema baadhi yao bado hawajawasilisha stakabadhi hizo wakisema muda wa siku sitini hauto
Advertisement
Advertisement





