Back to home
Waathiriwa wa shambulizi wawasilisha rufaa ya kesi, wakidai Mahakama Kuu ilikosea
video
C
Citizen TV (Youtube)March 30, 2026
2h ago
Waathiriwa wa shambulizi la bomu la mwaka wa 1998 kwenye ubalozi wa Marekani hapa Nairobi wameelekeza malalamishi yao kwenye mahakama ya rufaa, kupinga uamuzi wa mahakama kuu uliotupilia mbali kesi yao.....
Advertisement
Advertisement





