Back to home
Wakandarasi wavamiwa kwa kuandamana wakidai malipo yao Machakos
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
2h ago
Wanakandarasi watano walikamatwa mjini Machakos walipofanya maandamano katika makao makuu ya kaunti wakidai kulipwa pesa zao baada ya kutoa huduma na bidhaa kwa kaunti ya Machakos.
Wanakandarasi hao wanadai kuwa walinyanyaswa na kushambuliwa na askari wa kaunti walipokuwa wakiele
Advertisement
Advertisement





