Back to home

Mkurugenzi wa idara ya upelelezi Amin asema miili 33 iliyofukuliwa kericho ilitoka Nyamira

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Mkurugenzi wa idara ya upelelezi Mohamed Amin alisisitiza kuwa miili yote 33 iliyopatikana katika makaburi ya halaiki kaunti ya Kericho ilitoka makafani ya hospitali ya rufaa ya Nyamira. Amin aliyezungumza alipozuru eneo la makaburini kericho pia alithibitisha kupatikana kwa gari
Advertisement