Back to home
Amin: Miili 33 zilizofukuliwa ni za Nyamira, washukiwa watatu bado wameshikiliwa na polisi
video
C
Citizen TV (Youtube)March 31, 2026
2h ago
Mkurugenzi wa idara ya upelelezi mohamed amin amesisitiza kuwa miili yote 33 iliyopatikana katika makaburi ya halaiki kaunti ya kericho ilitoka makafani ya hospitali ya rufaa ya nyamira. Amin aliyezungumza alipozuru eneo la makaburini kericho pia amethibitisha kupatikana kwa gari
Advertisement
Advertisement




