Back to home
Kundi la linda mwananchi limetishia kumshtaki mahakamani spika wa bunge la taifa Moses Wetang’ula
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
1h ago
Kundi la linda mwananchi limetishia kumshtaki mahakamani spika wa bunge la taifa moses wetang’ula kwa kumfurusha mbunge wa kitutu chache south antoney kibagendi kutoka vikao vya bunge hapo jana.
Wabunge hao wamedai wetang’ula alikiuka uamuzi wa mahakama ulioelekeza kurejeshwa
Advertisement
Advertisement





