Back to home
Mbunge wa Bura apinga ugawaji wa ardhi kwa wawekezaji katika eneo hilo bila kuhusisha jamii
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
2h ago
Mbunge wa Bura Yakub Adow amepinga vikali ugawaji wa vipande vya ardhi kiholela katika eneo bunge lake kwa wawekezaji bila mkataba na wenyeji akisema haitakubaliwa kamwe.
Mbunge huyo alitaja baadhi ya kampuni ambazo zimepewa ardhi na mamlaka ya kitaifa ya unyunyiziaji maji bila k
Advertisement
Advertisement





