Back to home

Timu za Kenya za mpira wa kikapu wa viti vya magurudumu zimebanduliwa kwenye mchuano

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 1, 2026
2h ago
Timu za Kenya za mpira wa kikapu wa viti vya magurudumu zimebanduliwa kwenye mchuano wa Afrika kwa kulazwa na Morocco. Upande wa wanawake walipoteza mechi yao kwa alama 22-14 huku wenzao wa kiume wakilazwa 92-27.
Advertisement