Back to home
Timu za Kenya za mpira wa kikapu wa viti vya magurudumu zimebanduliwa kwenye mchuano
video
C
Citizen TV (Youtube)April 1, 2026
2h ago
Timu za Kenya za mpira wa kikapu wa viti vya magurudumu zimebanduliwa kwenye mchuano wa Afrika kwa kulazwa na Morocco. Upande wa wanawake walipoteza mechi yao kwa alama 22-14 huku wenzao wa kiume wakilazwa 92-27.
Advertisement
Advertisement
