Back to home
Maandalizi ya Madaraka Dei Wajir
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Katibu katika wizara ya usalama wa ndani, Dkt. Raymond Omollo amesema Wajir iko tayari kuandaa sherehe za madaraka mwaka huu, huku uwanja mkuu ukiwa umefika asiliia 28, na akisisitiza kuharakishwa kwa kazi kabla ya Juni Mosi.
Advertisement
Advertisement





