Back to home
Maafisa wakuu wa EPRA na Kenya Pipeline wakamatwa kwenye sakata ya mafuta
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya EPRA Daniel Kiptoo, afisa mkuu wa kampuni ya Kenya Pipeline Joe Sang, na naibu mkurugenzi idara ya petroli Joseph Wafula wanahojiwa katika makao makuu ya upelelezi baada ya kukamatwa mapema leo na kuzuiliwa katika vituo kadhaa vya polisi. Katibu kati
Advertisement
Advertisement





