Back to home

Ulaghai bima ya SHA: Watu 50 washtakiwa, taasisi 260 zahusishwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 5, 2026
3h ago
Idara ya upepelezi ya dci imetoa taarifa mpya kuhusu uchunguzi unaofanywa dhidi ya vituo 260 vya afya vinavyohusishwa na madai ya ulaghai kwenye bima ya afya ya sha. Katika ripoti yao ya punde zaidi, mkurugenzi wa dci, mohammed amin, alisema watu 50 tayari wameshtakiwa, huku kesi
Advertisement