Back to home
Naibu Rais Prof Kindiki atoa wito kutekelezwa kwa sheria mpya ya faini ya barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Naibu Rais prof kithure Kindiki, ameirai idara ya mahakama kuondoa amri ya kuzuia kutekelezwa kwa Sheria mpya za barabarani zinazohusisha faini za papo hapo, kama njia ya kuzuia ajali zinazoendelea kushuhudiwa nchini
Akitoa wito huo alipohudhuria ibada ya wafu ya watu 16 waliofa
Advertisement
Advertisement





