Back to home
Wanafunzi na walimu waendeleza upanzi wa miti Mwingi kwa juhudi za kuimarisha mazingira
video
C
Citizen TV (Youtube)April 7, 2026
2h ago
Shule mbalimbali katika eneo la Mwingi zinaendelea kunufaika na shughuli za upanzi wa miti, katika juhudi za kuhifadhi mazingira kwa kupanda miti bilioni 15 ifikapo mwaka 2030.
Naibu Kamishna wa Kaunti Ndogo ya Mwingi Kati, Catherine Njoroge, ambaye anaongoza zoezi hilo katika sh
Advertisement
Advertisement





