Back to home

Serikali inapanga kukarabati madhabahu ya Mukurwe

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 7, 2026
2h ago
Serikali kupitia Idara ya utamaduni sasa inapanga kukarabati madhabahu ya Mukurwe wa Nyagathanga yaliyoko Kaunti ya Murang’a, eneo linaloaminika kuwa chimbuko la jamii ya Agikuyu. Mukurwe wa Nyagathanga ni pahali ambapo pamehifadhiwa na kuthaminiwa na jamii. Serikali kupitia I
Advertisement