Back to home

Ajali ya barabarani kaunti ya Nyeri yazua majonzi, Naibu Rais aagiza makataa ya sheria mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 7, 2026
2h ago
Hisia zilishamiri kwenye ibada ya wafu ya watu 16 walioaga dunia kaunti ya Nyeri kufuatia ajali ya barabarani siku kumi na moja zilizopita. Wakizungumza katika hafla iliyoandaliwa uwanja wa Kabiru-ini mapema jumatatu, familia hizo zimeeleza kwa machungu majonzi ya maafa ya ajali
Advertisement