Back to home

Kalonzo Musyoka asuta chama cha ODM kwa kupotea njia

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 8, 2026
3h ago
Kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka jumanne aliandaa mkutano na wajumbe wa viongozi kutoka eneo la Nyanza katika makao makuu ya chama hicho jijini Nairobi.
Advertisement