Back to home

Rwanda yaanza siku mia ya ukumbusho wa mauaji ya kimbari

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 8, 2026
2h ago
Raia wa Rwanda wameanza maadhimisho ya siku mia moja ya ukumbusho wa miaka 32 tangu mauaji ya kimbari nchini humo. Rais Paul Kagame alizindua kipindi hicho cha kuwakumbuka wahanga zaidi ya laki nane wa mauaji ya mwaka wa1994, wengi wao wakiwa Watutsi. Katika hafla iliyoandaliwa k
Advertisement