Back to home
Zaidi ya vitambulisho 8,500 bado vimesalia katika afisi za usajili katika Kaunti ya Embu
video
C
Citizen TV (Youtube)April 9, 2026
2h ago
Zaidi ya vitambulisho 8,500 bado vimesalia katika afisi za usajili katika Kaunti ya Embu, hali inayozua wasiwasi kuhusu mchakato wa vijana kujisajili kama wapigakura.
Tume Huru ya Uchaguzi inakumbana na changamoto ya kuafikia malengo ya usajili wa wapiga kura ya 30% katika siku y
Advertisement
Advertisement





