Back to home
Vijana wazidi kulalamikia ukosefu wa ajira nchini
video
N
NTV Kenya (Youtube)April 11, 2026
2h ago
Vijana nchini wamezidi kulalamikia ukosefu wa ajira huku takwimu za hivi majuzi kutoka kwa shirika la kitaifa la takwimu nchini, KNEBS, zikionyesha kuwa kufika mwaka wa 2022 vijana wanaokabiliwa na changamoto hii ni asilimia 67.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Ken
Advertisement
Advertisement





