Back to home

Mzozo wa ardhi wazuka Turkana; wakazi wakataa kutoa eneo kwa KDF

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 11, 2026
1h ago
Mzozo wa ardhi umeibuka kati ya Wakazi wa eneo la Kangatotha kaunti ya Turkana na Jeshi la kitaifa, KDF, baada ya wakazi kukataa ombi la wanajeshi la kutengewa sehemu ya ardhi ya jamii kwa ujenzi wa kambi ya kijeshi na uwanja wa ndege. wakazi hao wanasisitiza kuwa hawatakubali ku
Advertisement