Back to home

Visa vya mauaji vyaongezeka Isiolo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
April 11, 2026
2h ago
Baadhi ya wakazi wa Kaunti ya Isiolo wamekumbwa na mshtuko kufuatia visa viwili tofauti vya mauaji ambavyo vimeacha jamii hiyo ikiomboleza na kuibua wasiwasi kutokana na ongezeko la ukosefu wa usalama katika eneo hilo. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news t
Advertisement