Back to home
Familia ya Nyeri yalilia haki baada ya mtoto kuuawa
video
C
Citizen TV (Youtube)April 11, 2026
2h ago
Familia moja huko Nyeri inalilia haki baada ya mtoto wao mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi minane kupatikana ameuawa na mwili wake kutupwa mtoni.
Advertisement
Advertisement





