Back to home

Familia Kwale yalilia haki baada ya mwanamume kuuawa katika mzozo wa ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
2h ago
Familia moja eneo la Mwereni katika eneo bunge la Lunga Lunga, Kaunti ya Kwale, inalilia haki baada ya jamaa yao kuuawa kwenye mzozo wa ardhi. Mzee Kesi Gwende aliuawa kwa kudungwa mishale baada ya kile familia yake inasema ni vitisho vya mara kwa mara kuhusu usalama wake. Famili
Advertisement