Back to home

Wadau wa habari wataka uhuru wa vyombo vya habari ulindwe Afrika

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 13, 2026
2h ago
Washikadau katika taaluma ya uanahabari barani Afrika wamepinga wito wa serikali kusaidia kifedha vyombo vya habari vya kiasili, wakisema badala yake serikali ilinde uhuru wao na kuwawezesha kujitegemea katika enzi ya mabadiliko ya kidijitali. Katika kongamano la Pan African Medi
Advertisement