Back to home
M-Ajira yaanza usajili wa madereva 500 Mombasa kwa ajira Saudi Arabia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 13, 2026
2h ago
Kampuni ya M-Ajira imetua jijini Mombasa kuendeleza zoezi la kuwajisajili madereva wa malori kwa nafasi za ajira nchini Saudi Arabia. M-Ajira imeshirikiana na kampuni ya SMASCO kutoka Saudi Arabia kuendesha zoezi hilo kwa siku tatu zijazo katika uwanja wa Tononoka, jijini Mombasa
Advertisement
Advertisement




