Back to home

Gharama ya elimu ya chuo kikuu yawaumiza wanafunzi

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 11, 2026
1h ago
Gharama ya masomo ya chuo kikuu inaendelea kuwalemea wanafunzi wengi miaka mitatu baada ya mfumo mpya kuanza kutekelezwa. Hali hiyo imemsababisha mwanafunzi mmoja wa mwaka wa pili wa udaktari katika Chuo Kikuu cha Nairobi kugeukia kazi ya mjengo ili kumudu karo na kupata pesa za
Advertisement